Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni amekielekeza Kituo cha Taifa cha Ufuatiliaji wa Kaboni (NCMC) mkoani Morogoro kusaidia taifa kutokana na miradi mbalimbali ambayo mataifa ya nje yanakuja kuwekeza nchini kupitia Biashara ya Kaboni. Amesema NCMC itumie wataalamu wake kwa kadili inavyoweza kutoa elimu kwa...Read More